News

DUWASA - KUBAIGWA MTAA KWA MTAA - WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA
Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyoanza Oktoba 06, 2025, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Kanda ya Kibaigwa wameendelea kutekeleza Kampeni ya Mtaa kwa Mtaa kwa kuwatembelea baadhi ya wateja ili kupata maoni, kusikiliza na kutatua changamoto walizonazo za huduma ya maji. Read More
Posted On: Oct 10, 2025

DUWASA KANDA YA KONGWA YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi Mazingira Dodoma (DUWASA) Kanda ya Kongwa imezindua Wiki ya Huduma kwa Mteja kwa kushirikiana na wadau wake. Read More
Posted On: Oct 10, 2025

DUWASA - CHAMWINO YATAMBUA THAMANI YA MTEJA
Katika kuendeleza Wiki ya Huduma kwa Mteja, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Kanda ya Chamwino wameendelea kutembelea na kutoa shukrani kwa wateja. Read More
Posted On: Oct 10, 2025

DUWASA - BAHI YASHIRIKISHA WADAU WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Kanda ya Bahi Leo Oktoba 07, 2025 imezindua Wiki ya Huduma kwa Mteja ikilenga kuimarisha uhusiano na wateja wake. Read More
Posted On: Oct 10, 2025

DUWASA YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA
Mamalaka ya Majisafi na Usafiw a Mazingira Dodoma (DUWASA) leo Oktoba 06, 2025 imezindua Wiki ya Huduma kwa Mteja kwa shughuli mbalimbali ikiwemo Mafunzo kuhusu Afya ya Akili na Huduma kwa Mteja. Read More
Posted On: Oct 09, 2025

SERIKALI YALIPA FIDIA YA SHILINGI MILIONI 999 KWA WANANCHI 103 WA DODOMA KWA MIRADI YA MAJI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Maji, imekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia yenye jumla ya Shilingi Milioni 999 kwa wananchi 103 ambao ardhi yao ilitwaliwa katika maeneo ya Nzuguni, Zuzu Nala, Nala Chihoni na Kibaigwa kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA). Read More
Posted On: Aug 13, 2025