News

MRADI WA MAJI WA NZUGUNI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma(DUWASA), imeanza kutekeleza mradi wa maji katika Kata ya Nzuguni utakaonufaisha wakazi 37,929 na unatarajiwa kukamilika Agosti 2023. Read More
Posted On: Mar 14, 2023

MKURUGENZI MKUU WA EWURA AIPONGEZA DUWASA KWA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI DODOMA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt. James Andilile, jana tarehe. 2/3/2023 amefanya ziara ya kikazi katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) ili kujionea shughuli za utendaji na utekelezaji wa miradi ya maji zinazofanywa na Mamlaka. Read More
Posted On: Mar 03, 2023

SERIKALI YAWEKEZA BIL. 9.14 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI DODOMA
Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 katika kutekeleza miradi kama hatua za muda mfupi kukabiliana na ongezeko kubwa la mahitaji ya maji jijini Dodoma. Read More
Posted On: Mar 01, 2023

NAIBU WAZIRI WA KILIMO AKAGUA MRADI WA MAJI NZUGUNI
NAIBU Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma wa Mjini, Anthony Mavunde, ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa kuweza kushirikiana na wananchi katika kutatua kero ya maji licha ya changamoto zote zilizopo. Read More
Posted On: Oct 11, 2022

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KILIMO MIFUGO NA MAJI YALIDHISHWA NA JUHUDI ZA DUWASA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI DODOMA.
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imeridhishwa na hatua za utekelezaji wa miradi ya maji katika eneo la Nzuguni unaotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), katika hatua za kukabiliana na changamoto ya maji katika jiji la Dodoma hasa eneo la Nzuguni. Read More
Posted On: Sep 23, 2022

DUWASA KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI NZUGUNI
KATIKA kukabiliana na suala la upungufu wa maji katika Jiji la Dodoma, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inaendelea na uchimbaji wa visima pembezoni wa mji ili kukabiliana na changamoto hiyo. Read More
Posted On: Sep 15, 2022