News
MSIZOEE SHIDA ZA WANANCHI - AWESO AWAASA DUWASA
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb.), amewaasa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuacha kuzoea shida za wananchi, na badala yake kuzitafutia ufumbuzi ili wananchi wapate huduma ya Majisafi ya uhakika. Read More
Posted On: Jan 15, 2025
WAZIRI AWESO ANADI MIRADI YA MAJI KOREA
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa H. Aweso (Mb) ametembelea na kufanya mazungumzo na Benki ya EXIM ya Korea ambayo imefadhili utekelezaji wa miradi ya Majitaka nchini Tanzania yenye jumla ya Dola za Kimarekani Milioni 248.3 (Mkoa wa Dar es Salaam 90 $US milioni, Dodoma 70 $US million; na Iringa 88.3 $US million). Read More
Posted On: Dec 11, 2024
DUWASA YATANGAZA OFA KWA WATEJA WAKE
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Lena Mwakisale ametangaza ofa maalumu kwa wateja wake wote waliositishiwa huduma ya maji kulipia nusu ya deni na faini ili kuweza kurudishiwa huduma hiyo. Read More
Posted On: Dec 11, 2024
DUWASA YATEKELEZA MAAGIZO YA AWESO NKUHUNGU
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA)leo Disemba 04, 2024 imekamilisha uchimbaji wa Kisima katika wa Mtaa wa Bochela Kata ya Nkuhungu uliyoanza Disemba 03,2024. Read More
Posted On: Dec 05, 2024
MRADI WA MAJI KISASA - MWANGAZA WAFIKIA 95%
Mkurugenzi wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira - DUWASA, Mhandisi Bernard Rugayi amesema Mradi wa Uboreshaji Huduma ya Maji Kisasa-Mwangaza umefikia asilimia 95 ya utekelezaji na kwamba baadhi ya wananchi wa maeneo ya Kisasa, Mwangaza na Nyumba 300 Jijini Dodoma wameanza kupata Huduma ya MajI tangu Novemba 21, 2024. Read More
Posted On: Nov 29, 2024
KAYA 1200 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI
Wadau wa kuwezesha miradi ya majisafi kutoka nchini Uholanzi kupitia taasisi ya VEI kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Novemba 26,2024 wamekutana kufanya mapitio na kujadiliana mwendelezo wa utekelezaji wa Mradi wa Water for Life unaofadhiliwa na VEI katika Kata tatu za Nzuguni, Ndachi na Ntyuka. Read More
Posted On: Nov 29, 2024