News

​WADAU SEKTA YA MAJI MALAWI WATEMBELEA DUWASA

Februari 05, 2025, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imepokea ugeni kutoka Kampuni ya Usambazaji Maji ya Salima Lilongwe Water Supply Company (SLWSC) ya nchini Malawi kwa lengo la kujifunza namna DUWASA inavyoendesha shughuli zake za uzalishaji na usambazi maji. Read More

Posted On: Feb 06, 2025

MSIZOEE SHIDA ZA WANANCHI - AWESO AWAASA DUWASA

​Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb.), amewaasa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuacha kuzoea shida za wananchi, na badala yake kuzitafutia ufumbuzi ili wananchi wapate huduma ya Majisafi ya uhakika. Read More

Posted On: Jan 15, 2025

​WAZIRI AWESO ANADI MIRADI YA MAJI KOREA

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa H. Aweso (Mb) ametembelea na kufanya mazungumzo na Benki ya EXIM ya Korea ambayo imefadhili utekelezaji wa miradi ya Majitaka nchini Tanzania yenye jumla ya Dola za Kimarekani Milioni 248.3 (Mkoa wa Dar es Salaam 90 $US milioni, Dodoma 70 $US million; na Iringa 88.3 $US million). Read More

Posted On: Dec 11, 2024

​DUWASA YATANGAZA OFA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Lena Mwakisale ametangaza ofa maalumu kwa wateja wake wote waliositishiwa huduma ya maji kulipia nusu ya deni na faini ili kuweza kurudishiwa huduma hiyo. Read More

Posted On: Dec 11, 2024

DUWASA YATEKELEZA MAAGIZO YA AWESO NKUHUNGU

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA)leo Disemba 04, 2024 imekamilisha uchimbaji wa Kisima katika wa Mtaa wa Bochela Kata ya Nkuhungu uliyoanza Disemba 03,2024. Read More

Posted On: Dec 05, 2024

​MRADI WA MAJI KISASA - MWANGAZA WAFIKIA 95%

Mkurugenzi wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira - DUWASA, Mhandisi Bernard Rugayi amesema Mradi wa Uboreshaji Huduma ya Maji Kisasa-Mwangaza umefikia asilimia 95 ya utekelezaji na kwamba baadhi ya wananchi wa maeneo ya Kisasa, Mwangaza na Nyumba 300 Jijini Dodoma wameanza kupata Huduma ya MajI tangu Novemba 21, 2024. Read More

Posted On: Nov 29, 2024