News

DUWASA YASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENGE WILAYA YA DODOMA MJINI

Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira, Mhandisi Bernard Rugayi ambaye amemuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji, Julai 3, 2024 Read More

Posted On: Jul 04, 2024

DUWASA YASHIRIKI UZINDUZI WA TAARIFA YA UTENDAJI WA MAMLAKA ZA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) leo Machi 18, 2024 imeshiriki uzinduzi wa ripoti ya 15 ya taarifa ya utendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira kwa Mwaka wa fedha 2022/23 uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention. Read More

Posted On: Mar 19, 2024

DUWASA YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAJI MBANDE - KONGWA

Hali ya huduma ya maji katika eneo la Kongwa mjini inazidi kuimarika baada ya mabadilko yaliyofanyika kwa kuongeza eneo hilo kuhudumiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA). Read More

Posted On: Mar 14, 2024

KAMATI YA MAJI NA MAZINGIRA YAWASILISHA RIPOTI BUNGENI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga leo Februari 09,2024 amesoma Bungeni taarifa ya Kamati hiyo iliyojikita katika masuala ya uanzishwaji wa Gridi ya Maji ya Taifa, uhuishaji wa Sera ya Maji, utunzaji wa vyanzo vya maji, utekelezaji na ukamilishaji wa miradi ya maji kwa wakati na kuanza kutumika kwa mita za maji za malipo kabla Read More

Posted On: Feb 09, 2024

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA PIC YAIPONGEZA SERIKALI MRADI WA MAJI NZUGUNI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Uwekezaji mkubwa katika miradi ya maji eneo la Nzuguni Jijini Dodoma yenye thamani ya takribani Bilioni 5.09 inayotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA). Read More

Posted On: Jan 31, 2024

WAZIRI AWESO NA UDOM KUHUSU MAJI

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuweka mpango mkakati wa dharura wa kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya majisafi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) inapatikana haraka kwa uhakika na ubora. Read More

Posted On: Jan 23, 2024