News

KATIBU MKUU WA CCM AKAGUA MRADI WA MAJI NZUGUNI
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Daniel Chongolo ameipongeza Serikali katika kutatua changamoto ya maji katika Jiji la Dodoma. Read More
Posted On: Jun 28, 2023
.jpeg)
HALI YA HUDUMA YA MAJI KUIMARIKA KIBAIGWA
MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa MazingiraDodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph ameleza mkakati wa kupeleka maji katika mji wa Kibaigwa kwa kuchimba visima ili kukabiliana upungufu wa maji. Read More
Posted On: Jun 19, 2023

BODI MPYA DUWASA YAZINDULIWA
BODI mpya ya tisa ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), imezinduliwa jana Alhamisi Juni 1, 2023 huku wakiagizwa kupunguza upotevu wa maji kutoka asilimia 28 hadi kufikia chini ya asilimia 20. Read More
Posted On: Jun 04, 2023

MRADI WA MAJI WA NZUGUNI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma(DUWASA), imeanza kutekeleza mradi wa maji katika Kata ya Nzuguni utakaonufaisha wakazi 37,929 na unatarajiwa kukamilika Agosti 2023. Read More
Posted On: Mar 14, 2023

MKURUGENZI MKUU WA EWURA AIPONGEZA DUWASA KWA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI DODOMA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt. James Andilile, jana tarehe. 2/3/2023 amefanya ziara ya kikazi katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) ili kujionea shughuli za utendaji na utekelezaji wa miradi ya maji zinazofanywa na Mamlaka. Read More
Posted On: Mar 03, 2023

SERIKALI YAWEKEZA BIL. 9.14 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI DODOMA
Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 katika kutekeleza miradi kama hatua za muda mfupi kukabiliana na ongezeko kubwa la mahitaji ya maji jijini Dodoma. Read More
Posted On: Mar 01, 2023