News

MIPANGO YA DHARURA ITEKELEZWE KUIMARISHA HUDUMA YA MAJI JIJI LA DODOMA - AWESO

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) ameiagiza Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuhakikisha Utekelezaji wa Mipango ya Dharura ya muda mfupi ya Uboreshaji wa Huduma ya Majisafi katika Jiji la Dodoma inafanyika kwa haraka ili wananchi, hasa wa maeneo ya Pembezoni wanapata huduma ya maji. Read More

Posted On: Aug 31, 2026

WANANCHI NZUGUNI, NDACHI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI KAYA ZA KIPATO CHA CHINI

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa ushirikiano na shirika la VEI, inaendelea na utekelezaji wa Mradi wa "Water for Life" wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa majisafi na salama kwa kaya za kipato cha chini katika Kata Mnadani eneo la Ndachi na Kata ya Nzuguni mtaa wa Nzuguni A na B. Read More

Posted On: Aug 19, 2026

WANANCHI 880 CHAMWINO WALIPWA FIDIA KUPISHA HIFADHI YA CHANZO CHA MAJI

​Serikali kupitia Wizara ya Maji imeanza rasmi kuwalipa fidia wananchi 880 wa vitongoji vya Mpera na Sokoine wilayani Chamwino, mkoani Dodoma, kiasi cha shilingi bilioni 4.928, ili kupisha na kulinda eneo la hifadhi ya chanzo cha maji cha Bonde la Chamwino. Read More

Posted On: Aug 19, 2026

WATENDAJI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUACHA ALAMA KWA KULETA MATOKEO

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) leo imesaini mkataba wa utendaji kati yake na Wizara ya Maji. Read More

Posted On: Jul 23, 2026

MKUU WA WILAYA YA DODOMA MJINI AKAGUA MIRADI YA MAJISAFI NA MAJITAKA

​Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri amefanya ziara ya kukagua Mradi wa Majisafi wa Nzuguni awamu ya pili na Mradi wa ukarabati na kubadilisha miundombinu wa Majitaka eneo la Area C na D jijini Dodoma leo Julai 9, 2026. Read More

Posted On: Jul 10, 2026

​DUWASA INASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inashiriki Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma yaliyoanza tarehe 16 Juni, 2026. Read More

Posted On: Jun 17, 2026