News
MKUU WA WILAYA YA DODOMA MJINI AKAGUA MIRADI YA MAJISAFI NA MAJITAKA
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri amefanya ziara ya kukagua Mradi wa Majisafi wa Nzuguni awamu ya pili na Mradi wa ukarabati na kubadilisha miundombinu wa Majitaka eneo la Area C na D jijini Dodoma leo Julai 9, 2026. Read More
Posted On: Jul 10, 2026
DUWASA INASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inashiriki Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma yaliyoanza tarehe 16 Juni, 2026. Read More
Posted On: Jun 17, 2026
WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MAJI - WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ametembelea Banda la Wizara ya Maji na Taasisi zake kwenye Maonesho ya Wiki ya Utumishi Umma, 2026. Read More
Posted On: Jun 17, 2026
CCM DODOMA YAIPONGEZA DUWASA KWA MAPINDUZI YA MAJI, YALENGA ASILIMIA 100 IFIKAPO 2030
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma kimeipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa kasi kubwa na ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya maji, hatua inayotajwa kuwatoa wananchi wengi katika kero ya muda mrefu ya uhaba wa maji. Read More
Posted On: Jun 12, 2026
WANANCHI BUIGIRI WAPOKEA KWA FURAHA MRADI WA UONDOSHAJI NA KUTIBU MAJITAKA MAGUFULI CITY
Wananchi wa Kijiji cha Buigiri, Kitongoji cha Chang’ombe Wilayani Chamwino, wameupokea kwa furaha Mradi wa Uondoshaji na Kutibu Majitaka wa Magufuli City unaotarajiwa kuanza kutekelezwa Juni 15, 2026 chini ya Mkandarasi BCEG kutoka China na Mshauri wa Mradi NOPLAN LIMITED. Read More
Posted On: Jun 12, 2026
DUWASA - KUBAIGWA MTAA KWA MTAA - WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA
Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyoanza Oktoba 06, 2025, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Kanda ya Kibaigwa wameendelea kutekeleza Kampeni ya Mtaa kwa Mtaa kwa kuwatembelea baadhi ya wateja ili kupata maoni, kusikiliza na kutatua changamoto walizonazo za huduma ya maji. Read More
Posted On: Oct 10, 2025