Video Albums

MIAKA MIWILI YA AWAMU YA SITA NA HALI YA MAJI KWA JIJI LA DODOMA

Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA akielezea Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika Sekta ya Maji - Dodoma.

Posted On: Mar 02, 2023

WAKAZI 17,000 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI WA FEDHA ZA UVIKO-19

MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amesema zaidi ya wananchi 17,000 katika maeneo ya Bahi mjini wilayani hapa mkoani Dodoma, wanatarajia kunufaika kupitia mradi wa maji unaotekelezwa kwa fedha za Maendeleo ya Ustawi na Mapambano dhidi ya UVIKO-19

Posted On: Mar 01, 2023

ZIARA YA BODI YA DUWASA: JIJI LA DODOMA KUPATA MAJI KUTOKA BWAWA LA MTERA

Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira walipotembelea Bwawa la Mtera.

Posted On: Mar 01, 2023

DUWASA YASAINI MIKATABA KUANZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA NZUGUNI.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ashuhudia zoezi la utiaji saini Mikataba ya ujenzi wa Mradi wa maji wa Nzuguni.

Posted On: Mar 01, 2023

DUWASA YATOA UFAFANUZI HALI YA UPATIKANAJI MAJI NALA

Mkurugenzi wa Usambazaji maji na Usafi wa Mazingira, Mhandisi Emmanuel Mwakabole akitolea ufafanuzi hali ya maji Nala na maeneo mengine ya pembezoni.

Posted On: Mar 01, 2023

UFAFANUZI WA MASUALA MBALIMBALI YA DUWASA

UFAFANUZI WA MASUALA MBALIMBALI YA DUWASA

Posted On: Aug 20, 2019